Shirika la Rafiki-SDO kupitia mradi wa MKUA tumeshiriki maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika katika kata ya Mwalukwa H/W ya Shinyanga.
Read more
Shirika la Rafiki-SDO kupitia mradi wa MKUA tumeshiriki maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika katika kata ya Mwalukwa H/W ya Shinyanga.
Read more
Siku ya mtoto wa Afrika, watoto wameshiriki kupitia mradi wa MKUA unaotekelezwa na shirika la Rafiki-SDO viwanja vya Saba saba.
Read more
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dorothy Gwajima, akifunga maadhimisho hayo ya siku ya mtoto wa Afrika Jijini Dodoma
Read more
Meneja wa Mradi wa KAGIS Eliud Mtalemwa kutoka shirika la RAFIKI SDO akizungumzia masuala ya watoto katika maadhimisho ya siku ya Mtoto wa Afrika.
Read more
Washiriki walijadili miongozo ya Asasi za kiraia, michango ya NGOs katika Uchumi, njia za kuimarisha maendeleo endelevu, Kanuni za kodi, Fursa na kanuni za fedha za NGOs.
Read more
Shirika la Rafiki SDO kupitia mradi wa KAGIS Geita, limetembelewa na Msajili wa mashirika yasiyo ya kiserikali kujionea hedhi salama na Elimu ya Afya ya uzazi kwa vijana wa rika balehe.
Read more